Tuesday, March 5, 2013

Karibu













Bwana Yesu asifiwe.
Wapendwa ninayo furaha kubwa kabisa kuwakaribisha kutembelea blogu hii ya CASFETA TAYOMI tawi la chuo kikuu cha St. John's Dar Es Salaam. Hii ni hatua muhimu kabisa ya tawi hili lililoanza rasmi July 22, 2011 katika ukumbi wa LT3 likiwa na wanachama 8. Nawaahidi kwa msaaada wa roho mtakatifu blogu hii itachapisha mambo yahusuyo CASFETA na hata juu ukristo.
Nakutakia ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya njema kama roho yako ifanikiwavyo. (3Yohana 1:2)
Wako katika utumishi
Mstaafu
Peter K Kapagi
Mwl na Mkurugenzi wa Kapagi Information Institute (KII)
kapagiii.blogspot.com  

TANGAZO

CASFETA-TAYOMI
TANGAZO KWA WANAFUNZI WA DIPLOMA NA CHETI
Bwana asifiwe....
Tunayo furaha kuwakaribisha wanafunzi wa diploma na cheti ambao ni wanaCASFETA au waliwahi kuwa wanaCASFETA AU wanataka kujiunga na CASFETA st.John's University-Dsm na kushiriki ibada zetu za CASFETA-TAYOMI zinazofanyika kila ijumaa ukumbi wa LT3 saa 12:00-13;00 mchana, pia mnaombwa kujisajiri ili kupanga utaratibu mzuri wa ibada kipindi cha likizo ya wanafunzi wa shahada. unaweza kujisajiri kwa kutuma jina kamili kwenda kwa 
Peter Kapagi
Mwenyekiti
0764734620/0658734620
Samwel Furaha
Katibu
Nb. Tangazo la octoba 2011